Mgosi wa Sui

Mgosi wa Sui

Friday, September 18, 2015

Yanga yapewa Onyo


sadf
Yanga ni club ya mashabiki mbalimbali wenye itikadi tofauti, sasa sio sawa kuweka mabango ya kisiasa kwenye ofisi za club. Sina uhakika kama viongozi wa club hii wameliona hili lakini kwanini wasione wakati lipo nje ya ofisi yao.
Yanga kama club ya wananchi ina jukumu la kutetea demokrasia na wasioneshe hata chembe moja kwa moja kuhusisha club na chama chochote cha siasa.
Natoa rai karatasi hii itolewe na hata vilabu vingine au asasi zozote za kijamii zisijihusishe moja kwa moja na vyama vya siasa. Mtu binafsi anaweza kujihusisha lakini sio club. +255 kwanza kabla ya kitu chochote

No comments:

Post a Comment