Mgosi wa Sui

Mgosi wa Sui

Thursday, January 15, 2015

Safari ya matumaini ya wana Kimanu manu Inaiva sasa

Timu ya soka ya African Sports wana Kimanumanu
leo imefanya kweli katika uwanja wa Mkwakwani.
Timu hiyo leo ilichomoza na
ushindi wa magoli mawili kwa moja dhidi ya KMC
Ya Kinondoni Dar-es-salaam ambao wanatumia
uwanja wa Mkwakwani kama uwanja wao wa
Nymbani.
African Sports itasafiri hadi Dar-es-salaam
keshokutwa kuwakabili Villa Squad.
Kila la kheri African Sports.kila la kheri wana Kimanumanu

No comments:

Post a Comment