| ndanda katika Nembo yao |
wa Mkwakwani mjini Tanga Wagosi wa Kaya
Coastal Union Wamewapa Raha mashabiki
wake kwa kuwachapa bila huruma Ndanda FC
Kwa kichapo cha bao mbili kwa Moja,
| Mfungaji wa Bao la kwanza MAHUNDI |
kunako saa sita mchana kwa Mabasi matatu
kwa Tambo na Nyimbo wakiwa na hakika ya
Ushindi,Coastal Union hawakuwapa nafasi
Ndanda FC Kushangilia timu yao kwani
waliandika bao lao katika dakika ya kwanza ya
mchezo huo,
| Ramadhani Salimu akiweka Faulu |
kocha wao mkuu kusimama na kuanza kutoa
maelekezo baada ya awali kocha msaidizi kuwa
ndio muelekezaji,Coastal hawakubaki nyuma
kwa kuendelea kusukuma mashambulizi yao
kwa ndanda na yalizaa matunda kwa kuandika
baola pili muda mchache kabla ya mapumziko
| Heka heka langoni mwa Ndanda |
mchezo huo kabisa na kwafanya washabiki wa Ndanda
kushindwa kuendelea kuimba Nyimbo zao walizoandaa
| Kocha wa Ndanda na Refarii wa akiba aliyekuwa na Bendeji |
mchezo huo uligubikwa na matokeo tofauti tofauti kwa washabiki
wa Ndanda kumpiga jiwe refa msaidizi wa mchezo hali iliyofanya
mchezo kusimama kwa takribani dakika sita kusubiria refarii huyo kutibiwa,Matukio
mengine ni Coastal union kuwa na mashabiki wa Asili ambao
walivaa jezi za mdhamini wa zamani Binslum Sound badala ya mdhamini huyu wa
sasa Pembe,Mchezo unaofuata
Coastal wanacheza na Mgambo Shooting ambao kesho
wao wana Kibarua kigumu cha kupambana na wakata
Miwa wa Mtibwa Sugar,Ahsante wagosi kwa kuwatuliza
wamakonde wangesumbua sana leo hapa Mkwakwani,na
Kila la kheri Mgambo Shooting,tupeni raha walizotupa
Wagosi wa Kaya Coastal Union
No comments:
Post a Comment