| Heka Heka Katika Mchezo |
Hadeni Tanga Jana Ilicheza mchezo wa Kirafiki
Mkali na wa Kusisimua na Timu ya Small Prisons
ya Maweni Tanga katikaUwanja wa Jeshini Kange
Tanga.mchezo huo ulioanza majira ya Saa kumi jioni
| Cholo katika heka heka |
Abdallah anayechukua Mikoba ya Bakari Nyundo Shime
anayeenda masomoni kwa Kipindi cha Wiki Mbili kuanzia
kesho jumapili tarehe 12 mwezi huu,Katika Mchezo huo
Mgambo walionyesha kuwa wao kiukweli wako ligi kuu baada
ya kuwazidi sana timu ya Prisons katika dakika zote tisini za
| Mchezaji wa Prisons akipandisha Socks |
na timu hiyo ya Mgambo japo amesema kuna
mapungufu kidogo ya kuyafanyia kazi kwa muda
huu ligi iliposimama kupisha michezo ya kimataifa.
| Heka heka za Cholo |
ilishinda kwa Ushindi wa Mabao mawili kwa bila majibu
kutoka kwa Small Prisons,
No comments:
Post a Comment