Bakari Shime Kocha Mgambo akitoa maelezo |
palikuwa na patashika nguo kuchanika wakati
timu ya Mgambo Shooting ilipokuwa ikipepetana
na Stand united ya Shinyanga,Mchezo huo ulianza
majira ya saa kumi kamili jioni kwa timu zote kucheza
mchezo wa Kutegeana tegeana na Ufundi mwingi
Mgambo wakipata Maelezo |
ya Mchezo kuandika bao la kwanza kwa
uzembe wa Beki wa Mgambo Aliyekosea
kuundoa mpira katika hatari hivyo Mchezaji
wa Ndanda akaupitia na kumpasia mfungaji
Musa Mohamed nae bila ajizi akapasia Nyavu
Mfungaji wa Bao la Ndanda mwenye namba 20 |
wa Stand walioambatana na timu hiyo kutokea
Shinyanga,Mgambo walifanya Mabadiliko kadhaa
ili kuweza kujinusuru kwa kuwaingiza Mohamed
na kuntoa Samata,halafu walimtoa Ayoub na
kumuingiza Boli lakini mabadiliko hayo hayakuzaa
matunda
hivyo hadi mwisho wa mchezo Stand United 1 Mgambo
shooting hawakupata Kitu,
Kocha wa Ndanda akitoa maelezo |
wagosi wa kaya ya Tanga ilipokea kipigo
cha bao moja kwa bila,Bao lililofungwa kwa
Njia ya Penalt ya Kitatanishi....Week ijayo
Mgambo wanaelekea Manungu Morogoro
huku Wagosi kwa mara ya kwanza wanakuwa
katika uwanja wao wa Nyumbani
Mkwakwani Stadium.
No comments:
Post a Comment