Mgosi wa Sui

Mgosi wa Sui

Wednesday, September 30, 2015

Arsenal Ni ya Mchangani tu

 Timu ya soka ya Arsenal ya England jana iliangukia Pua
katika mchezo wa ligi ya mabingwa Ulaya baada ya kupokea
kichapo cha mabao mawili kwa moja kutoka kwa wagiriki
Olympiakos.
 Hiyo ni mechi ya pili kwa Arsenal kufungwa katika ligi
hiyo huku ikishuhudiwa pia waingereza
wenzao Chelsea wakilala Ugenini kwa Fc Porto kwa
Idadi hiyo hiyo hiyo ya mabao.
 Leo Mashetani wekundu watapambana na Wolsburg
katika muendelezo wa ligi hiyo katika Uwanja wa OLD
Trafford


No comments:

Post a Comment