Mgosi wa Sui

Mgosi wa Sui

Monday, December 1, 2014


Wachezaji wa Azam FC, Joseph Kimwaga kulia na John Bocco na Frank Domayo kushoto wakiwa na Daktari Nicolas aliyewafanyia upasuaji na matibabu kwa ujumla ya majeruhi yao nchini Afrika Kusini, Wachezaji hao walikwenda Johannesburg wiki iliyopita kufanyiwa uchunguzi na wanatarajiwa kurejea nchini Alhamisi, baada ya Dk Nicolas kusema wamepona kabisa.

No comments:

Post a Comment