Mgosi wa Sui

Mgosi wa Sui

Saturday, November 29, 2014

Manchester United Hakuna Kulala mpaka Kieleweke

MSHAMBULIAJI Radamel Falcao yuko tayari kuongeza nguvu kikosini Manchester United katika mechi dhidi ya Hull City Uwanja wa Old Trafford Jumamosi baada ya kupona maumivu yake.

Nyota huyo wa Colombia amekuwa akisumbuliwa na maumivu tangu amejiunga na United kwa mkopo kutoka Monaco msimu huu na hajacheza kwa wiki tano sasa.
Lakini kocha Louis van Gaal amesema Falcao anajiandaa kurudi kikosini mwishoni mwa wiki hii, na Marcos Rojo anaweza pia kuorodheshwa baada ya kupona maumivu ya bega aliyopata katika mechi ya mahasimu wa Jiji la Manchester mwanzoni mwa mwezi huu.
Manchester United tweeted this picture of Falcao back in training this week 
Manchester United wametweet picha hii ya Falcao kurejea mazoezini wiki hii Defender Marcos Rojo is also set to return to action after recovering from a dislocated shoulder
Beki Marcos Rojo pia amerejea baada ya Kuwa Nje kwa Muda

No comments:

Post a Comment