Hapa nikiwa na ndugu Juma Mwambusi Kocha wa Mbeya City |
Hapa Kwetu Tanga Tunatarajia Mchezo Mkali kati ya Mgambo Shooting na Kagera Sugar timu ambayo Binafsi yangu inanisisimua sana kwa soka lakela kiumakini zaidi ni kama vile walivyo Mtibwa labda kwa Sababu wote ni wakata miwa.
Maoni yangu kwa TFF Ni
kuhusiana na Tuzo Binafsi za wanamichezo wahusika wa
ligi hiyo,Kuna Tuzo kadhaa hutolewa kama vile Mchezaji Bora
Kipa Bora,Mfungaji Bora,Refa Bora na Timu Bora pamoja
na Bingwa ambaye wala haina shida katika mchakato wa
kupatikana kwake kwani hapigiwi kura huyu...
![]() |
Kocha Bakari Shime akifanya mahojiano naVyombo vya Habari |
kocha wa Mbeya City ya Mkoani Mbeya,Hongera
kwake,Ila wadau wengi tunashindwa kuelewa amakuwekewa wazi Vigezo vya kupatikana kwa Kocha
bora,nina maana hapa..kama tatizo ni kwa timu,kushika nafasi ya juu kwa nini kocha bora asiwe wa Azam FC?Aje kuchaguliwa kocha huyu ambaye nafasi yake ilikuwa ya chini kuliko huyo?ina maana kuna zaidi ya hilo ili kuwa kocha bora sio lazimauwe bingwa,
![]() |
Mgambo Ikiwa Mazoezi baada ya kuchukuliwa na Shime
Msimu uliopita tuliona maajabu ya Soka kwa timu iliyokuwa kama Imeshashuka daraja kubakizwadaraja,Mgambo Shooting Club ya Kabuku Handeni Tanga,Mpaka kufikia Raundi ya 14 Timu ilikuwa nafasi ya Mwisho kwa kuwa na Points 6 juu yake alikuwapo Ashanti united na Point zake 11,Kocha
wa Mgambo alichukua maamuzi magumu ya kuacha timu kwa kile alichokiita matatizo ya kifamilia japo kuna wakati alisikika akisema timu haifundishiki, Mikoba akapewa Bakari nyundo Shime anayetokea
EAGLE SPORTS ACADEMY kuinusuru timu hiyo, binafsi yangu alinipitia nyumbani kuniaga na kuniambiakuna mambo mawili kuwa Shujaa ama kuaibika ila nitakuwa shujaa tu..nikamuaga akaondoka kuelekea Dar-es-salaam kuungana na timu na mechi ya raundi ya 15 Mgambo ilikutana na Ashanti United na Kuifunga magoli 2 kwa Bila pale katika uwanja wa Chamanzi
Azam Complex.
![]() |
Bakari Shime Kazini |
Yote kwa yote nampongeza Juma Mwambusi kwa Tuzo
Asalaaaaam
No comments:
Post a Comment