Mgosi wa Sui

Mgosi wa Sui

Saturday, November 29, 2014

Aibu iliyoje,Aliyoyakataa fergason Yamkuta Wenger

Mashabiki wa Arsenal fc walionekana na mabango yanayomshkuru Wenger na wakati huo kumshinikiza aondoke katika timu hiyo kutokana na kutokuwa na jipya katika timu hiyo,mashabiki hao ambao waejitoa mhanga walipeperusha bango hilo katika viwanja vya Emirates 

Some disgruntled Arsenal fans held out a banner suggesting manager Arsene Wenger leave his job after a mixed start to the season
Baadhi ya mashabiki wa Arsenal wakiwa wamening'iniza bango linalopendekeza kocha Arsene Wenger aondoke baada ya mwanzo mbaya msimu huu

No comments:

Post a Comment